Aidha, namba kubwa ya makampuni imeripoti ukuaji wa chini wa mapato katika miezi mitatu iliyopita.
Utafiti, pia inaonyesha kwamba asilimia mbili tu ya makampuni yanatarajia ukuaji wa mapato mazuri.
Kulingana na mtendaji mkuu wa chama cha viwanda Phyllis Wakiaga, matarajio makubwa juu ya ukuaji mbaya wa mapato yanatokana na hali mbaya ya kisiasa nchini.
Katika miezi mitatu iliyopita, asilimia 22 pekee ya wazalishaji wa viwanda waliandikisha ukuaji wa mapato wa kati ya asilimia moja na asilimia tisa, wakati asilimia 11 waliripoti ukuaji wa mapato wa zaidi ya asilimia 10.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |