Magufuli alisema Luoga ataanza kazi mwezi desemba ama Januari baada ya kukamilika kwa muda wa kuhudumu wa gavana wa sasa Benno Ndulu.
Luoga kwa sasa anahudumu kama naibu chanzela wa chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Mwezi Juali Luoga pia aliteuliwa na rais Magufuli kuwa mwenyekiti wa hamlamshauri ya wakurungezi wa mamlaka ya ushuru nchini humo TRA.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |