Serikali ya Kenya imetangaza kuwa leo Alhamisi ni siku ya mapumziko ya kitaifa, ili kutoa nafasi kwa wananchi kushiriki kwenye upigaji kura wa uchaguzi wa rais wa marudio. Hata hivyo baadhi ya wananchi hawajafurahishwa na taarifa ya serikali kuhusu mapumziko, kutokana na kuwa uchaguzi bado umegubikwa na sintofahamu za kisheria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |