• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kuweka "Ukanda Mmoja na Njia moja" kwenye katiba ya CPC kutaongeza ujenzi wa Jumuia ya mustakabali wa pamoja wa binadamu

    (GMT+08:00) 2017-10-26 19:04:31

    Mkutano mkuu wa 19 wa Chama cha Kikomunisti cha China umepitisha marekebisho ya katiba ya chama, na kuweka mapendekezo ya kusukuma mbele ujenzi wa "Ukanda Mmoja na Njia moja" kwenye katiba

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang amesema marekebisho hayo yataongeza nguvu ya kuzihimiza China na nchi husika kushirikiana kujenga "Ukanda Mmoja na Njia moja", kusukuma mbele ujenzi wa uhusiano wa kimataifa wa aina mpya, na kujenga Jumuia ya mustakabali wa pamoja wa binadamu.

    Amesema China inapenda kushirikiana na pande mbalimbali, kutoa mchango katika kujenga dunia yenye amani, usalama, ustawi wa pamoja, usafi na mandhari nzuri.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako