Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1 hivyo kufanya mchezo wa marudiano nchini Morocco kuwa na mvuto wa aina yake.
Al Ahly wametwaa ubingwa wa kombe hilo mara 8. Wydad Casablanca walitinga fainali kwa kuitoa USM Alger ya Algeria kwenye nusu fainali wakati Al Ahly waliitupa nje Etoile du Sahel.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |