Refa alisimamisha mpambano huo na kumuokoa Takam aliyekuwa akitokwa na damu nyingi usoni kufuatia kuchanika juu ya jicho mwanzoni mwa pambano hilo.
Takam alichukua nafasi hiyo ya kupigana na Joshua baada ya mpinzani aliyepangwa awali Kubrat Pulev kujitoa baada ya kuumiza mazoezini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |