• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Russia na Nigeria zasaini makubaliano ya ushirikiano wa nyuklia

    (GMT+08:00) 2017-10-31 08:26:39

    Kampuni ya nishati ya nyuklia ya Russia Rosatom imesema Russia na Nigeria zimesaini makubaliano kuhusu ujenzi na uendeshaji wa kituo cha umeme wa nyuklia na kituo cha utafiti nchini Nigeria. Makubaliano hayo yalisainiwa kwenye mkutano wa mawaziri kuhusu matumizi ya amani ya nishati ya nyuklia uliofanyika Abu Dhabi. Naibu mkuu wa idara ya masoko na maendeleo ya kibiashara ya kampuni ya Rusatom Anton Moskvin amesema miradi hiyo itahimiza uhusiano kati ya nchi hizo mbili, na maendeleo ya teknolojia ya nyuklia yataiwezesha Nigeria kuimarisha hadhi yake ya uongozi barani Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako