Mashindano haya hayakuandaliwa mwaka jana baada ya wenyeji Sudan kujiondoa na kisha Kenya iliyochukua nafasi ya kuandaa nayo kujiondoa dakika za mwisho.
Nchi zitakazoshiriki ni Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Burundi, Sudan, Ethiopia, Sudan kusini, Djibouti, Eritrea, Somalia na Zanzibar.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |