Afisa mawasiliano wa klabu hiyo Hajji Manara amewaonyesha waandishi wa habari video ya mchezo huo na kuwaonyesha namna ambavyo refa hakutoa penalti licha ya mpira kuwagonga mikononi beki wa Yanga Kevin Yondani na kiungo Papy Kashamba Tshishimbi. Na kueleza watapeleka malalamiko yao bodi ya ligi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |