Rais wa chama cha riadha Zanzibar Dkt Abdulhakim Chamasa amesema ni muhimu kwa makampuni kuandaa mashindano kama haya kutoa elimu kwa njia za michezo.
Mashindano hayo yatakuwa ya kilomita 1 kwa watoto, kuanzia kilomita 2,5,10 na 21 kwa watu wazima.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |