Javier amehoji uwezo wa kifedha wanaouonyesha PSG na kitendo hicho kinaathiri soka moja kwa moja huku akiwataka UEFA kuanza kuchukulia uzito suala hilo kwani vilabu vingine vinaathirika kwa matumizi hayo.
Javier ameonya kwamba endapo UEFA watashindwa kuchukua hatua hadi mwisho wa msimu huu, watakwenda ngazi za juu zaidi na kama wakipatikana na hatia wafukuzwe katika michuano ya Champions League.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |