• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Data zaonesha kuwa uanachama wa EU unamgharimu kila raia wa Uingereza dola 163 kila mwaka

    (GMT+08:00) 2017-11-01 09:00:02

    Data zilizotolewa na ofisi ya takwimu ya Uingereza ONS zinaonesha kuwa uanachama wa Umoja wa Ulaya unamgharimu kila raia wa Uingereza wastani wa dola 163 za kimarekani kila mwaka. Data hizo zinasema dola bilioni 5.8 zaidi zilirudishwa kwenye sekta za umma na zile za binafsi za Uingereza kwa mwaka jana, na kuufanya mchango halisi wa Uingereza kwa Umoja wa Ulaya mwaka jana kufikia dola bilioni 12.5 za kimarekani, ikiwa ni nusu ya mchango wa jumla Uingereza iliotoa kwa Umoja huo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako