Mfanyabiashara Qu Long ambaye alisingiziwa na kufungwa jela baada ya kutoa taarifa kwa polisi kuhusu mtu aliyesakwa na serikali ya China Guo Wengui kwa makosa ya kuiba mali za umma, amewaambia wanahabari hapa Beijing kwamba, atamfungulia mashtaka ya jinai Bw. Guo Wengui, na kutoa wito kwa mamlaka za Marekani kumrudisha Bw. Guo nchini China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |