Shufaa Changawa ameshinda taji la wanawake kwa kumfunga Aisha Niyonkuru wa Burundi kwa seti za alama 2-6, 6-2 na 7-5 huku Ismael Nzai akishinda kwa 6-2 na 7-5 dhidi ya Duncan Mugabe wa Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |