• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ligi kuu Uingereza (EPL): Chelsea yainyuka Man United

    (GMT+08:00) 2017-11-06 08:19:31
    Bao pekee la mhispania Alvaro Morata katika dakika ya 55 limeipa ushindi muhimu klabu ya Chelsea katika mechi dhidi ya Manchester United iliyofanyika jana mjini London.

    Katika mechi nyingine iliyopigwa jana Vinara wa ligi kuu ya nchini Uingereza kwa sasa Manchester City walifanikiwa kuwatambia Arsenal kwa magoli 3-1 yaliyofungwa na De' Bruyne, Aguero na De Jesus huku la kufutia machozi kwa vijana wa Arsene Wenger likifungwa na Alexandre Lacazette.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako