Katika mechi nyingine iliyopigwa jana Vinara wa ligi kuu ya nchini Uingereza kwa sasa Manchester City walifanikiwa kuwatambia Arsenal kwa magoli 3-1 yaliyofungwa na De' Bruyne, Aguero na De Jesus huku la kufutia machozi kwa vijana wa Arsene Wenger likifungwa na Alexandre Lacazette.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |