China imerusha satelaiti mbili aina ya Beidou No. 3 kwa kutumia roketi ya Changzheng No. 3B kwenye kituo cha kurushia satelaiti mjini Xichang, China. Hii ni mara ya kwanza kwa satelaiti aina ya Beidou No. 3 kurushwa, hatua inayoonesha mfumo wa uongozaji wa satelaiti ya Beidou wa China umeingia katika zama mpya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |