Kocha mkuu wa soka ya Zanzibar Hemed Suleiman (Morocco) mbali ya kutangaza kikosi cha timu ya taifa ya wanaume pia ametangaza kikosi cha Wachezaji 20 wa timu ya Taifa ya Zanzibar kwa Wanawake (Zanzibar Queens) ambayo inatarajiwa kwenda nchini Rwanda kwenye Mashindano ya CECAFA Woman Chalenji CUP yanayotarajiwa kufanyika muda wowote mwezi huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |