Wakati huo huo, Klabu ya West Ham inatarajiwa kumtangaza David Moyes kuwa kocha wake mpya baada ya kumwachisha kazi Slaven Bilic wa Croatia.
Moyes amewahi kuvifundisha vilabu kadhaa vya nchini Uingereza vikiwemo Everton na Manchester United.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |