Mafunzo hayo yatasaidia kutoa hamasa ya soka la ufukweni kuenea zaidi na kupata hazina ya wachezaji wa timu ya taifa ya mchezo huo.
Akati huo huo, kozi ya waamuzi wa mchezo huo imeanza jana makao makuu ya TFF Karume jijini Dar es Salaam na yatamalizika Novemba 12.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |