Mkufunzi wa mpira wa kikapu Tanzania Alfred Ngalaji ameeleza kuwa, Hasheem alipokuwa akicheza ligi ya kikapu ya Marekani (NBA) alicheza msimu mmoja kwa mafanikio na mingine hakuwa na mafanikio kwenye klabu yoyote na kurudishwa kwenye ligi ndogo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |