Katibu mkuu wa shirikisho la riadha Tanzania (RT) Wilhelm Gidabuday ameeleza kuwa lengo la mashindano hayo ni kusaka wanariadha watakaokwenda kambini nchini Japan kujiandaa na mashindano ya kufuzu michezo ya olimpiki yatakayofanyika jijini Tokyo Japan mwaka 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |