Onyango ambaye amaejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 11 bora wa Afrika mwaka 2017, pia ni miongoni mwa wachezaji waliotajwa kuwania taji la mchezaji bora Afrika, katika tuzo zitakazotolewa januari 4 mwaka 2018 nchini Ghana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |