Sumgong ambaye ni bingwa wa kihistoria katika michuano ya Olimpiki kuwahi kutokea nchini Kenya baada ya kuibuka mshindi wa kwanza mwaka 2016 nchini Brazil.
Kwa kuwa mwanariadha ameadhibiwa baada ya kukutwa na hatia na wakala wa kupambana na matumizi ya dawa michezoni ya Kenya (Adak), sheria inamruhusu kukata rufaa dhidi ya tuhuma hizo katika mamlaka za juu zaidi ikiwemo WADA.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |