Rais Xi Jinping wa China ameandaa hafla ya kumkaribisha rais Donald Trump wa Marekani kufanya ziara ya kiserikali nchini China, kwenye uwanja wa mashariki wa jumba la mikutano la umma hapa Beijing.
Kwenye hafla hiyo marais hao wamekagua gwaride la jeshi la ukombozi wa umma la China. Baadaye, marais hao wamefanya mazungumzo rasmi katika jumba la mikutano la umma.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |