Katika mchezo huo uliochezeshwa na waamuzi kutoka Benin, Ligali Praphiou aliyesaidiwa na Bello Razack na Koutou Narcisse, hadi mapumziko wenyeji The Squirrels, walikuwa mbele kwa bao 1-0 lililofungwa kwa penalti na Nahodha, Stephane Sessegnon anayechezea klabu ya Montpellier ya Ufaransa.
Goli la kusawazisha kwa Tanzania lilifungwa na mchezaji wa klabu ya Dhofar ya Oman, Elias Maguri aliyefunga bao hilo akimalizia krosi ya winga Shiza Kichuya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |