Amavubi inafuzu moja kwa moja kutokana na faida ya ushindi wa magoli 2-3 ilioupata kwenye mechi ya kwanza ya mtoano iliyopigwa mjini Addis Ababa.Kwa kufuzu mashindano ya Morocco, hii ni mara ya tatu kwa Rwanda kufuzu ambapo mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2016 ilipokuwa mwenyeji wa mashindamo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |