Ireland ambayo haijashiriki mashindano ya kombe la dunia tangu ilipofanya hivyo kwa mara ya mwisho mwaka 1986, imekosa tena safari kufuatia kipigo cha goli 1-0 ilipofungwa ikiwa nyumbani katika mechi ya kwanza ya mtoano dhidi ya Uswisi.
Kwa ushindi huo, Uswisi inakuwa timu ya 27 kufuzu michuano hiyo ambayo inatarajiwa kuanza June 14 mwaka kesho nchini Urusi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |