Kamati hiyo inatarajiwa kukutana mwishoni mwa juma hili kwa ajili ya kupeana majukumu ikiwemo kupanga bajeti na maandalizi ya kupokea wageni.
Shirikisho la vyama vya soka Afrka CAF linatarajiwa kuzuru Tanzania ili kukagua viwanja vitakavyotumika katika mashindano.
Licha ya kuwa mwenyeji katika matukio kadhaa ya kimichezo kimataifa, Hii ni mara ya kwanza kwa taifa la Tanzania kuandaa mashindano ya kimataifa ya soka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |