Nafasi ya pili ilichukuliwa na Kent Main wa Afrika Kusini, nafasi ya tatu akiwa Natnael Mebrahtom wa Eritrea。
Mbio hizo zinaendelea leo kwa hatua ya pili yenye kilomita 180 kuanzia mji wa Nyanza hadi mkoa wa Rubavu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |