Bingwa huyo wa mashindano ya makubwa ya Ufaransa na Marekani kwa mwaka huu amejiondoa ikiwa ni muda mfupi baada ya kufungwa na David Goffin wa Ubeligiji kwenye mashindano ya Uingereza yanayoendelea jijini London.
Licha ya ushindi wa seti ya 3-1 yenye alama 7-6 6-7 na 6-4, Goffin amekiri kuwa haikuwa kazi rahisi kumfunga Rafael Nadal.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |