Gharama ya kutumia inatneti nchini Uganda imepungua kwa asilimia 73 ndani ya kipindi cha miaka 3 iliopita.
Mbps moja sasa inagharimu dola 70 hiyo ikiwa ni ishara ya kupungua kwa gharama za kufanya biashara.
Mkurungezi wa Tume ya mawasiliano nchini humo Godfrey Mutabazi amesema kushuka kwa bei ya intaneti kumetokana na kutekelezwa na kutoal ya kuwa na mtandao wa 4g.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |