Ili kufuzu hatua ya mtoano KPA watalazimika kushinda mechi ya mwisho ya hatua ya makundi kesho dhidi ya Ferroviario De Maputo ya Msumbiji.
Katika mechi nyingine ya kundi B iliyochezwa jana mabingwa watetezi wa michuano hiyo Primero De Agosto ya Angola wameilaza Ferroviario De Maputo ya Msumbiji kwa pointi 74-65.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |