Aiba wametoa maoni hayo na onyo kali wakati wakijibu barua iliyoandikwa kwake na UBF mnamo Novemba 4 ya kuomba kwa dharura waangalizi wa kimataifa kwa ajili ya uchaguzi uliokuwa ufanyike Novemba 11 jambo ambalo hata hivyo ni kinyume cha kanuni zinazotaka taarifa za uchaguzi kupelekwa AIBA katika kipindi kisichopungua mwezi mmoja wa uchaguzi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |