Mwiba mkali katika mechi hiyo alikuwa kiungo wa klabu ya Tottenham ya Uingereza Christian Erikssen aliyefunga magoli matatu peke yake na mengine yakifungwa na Cyrus Christie na Nicklas Bendtner.
Hii ni mara ya tano kwa Denmark kushiriki michuano ya kombe la dunia ikiwa imefanya hivyo pia mwaka 1986, 1998, 2002 na mwaka 2010.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |