Taifa la Ufaransa limeshinda haki ya kuwa mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia ya mchezo wa raga kwa mwaka 2023.
Katika kinyang'anyiro hicho, ufaransa wamezipiku kwa kura nyingi nchi za Ireland na Afrika Kusini ambazo ndizo zilizokuwa zinapewa kipaumebele kuandaa.
Hii ni mara ya pili kwa ufaransa kuwa mwenye wa mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka mine, wakiwahi kufanya hivyo mwaka 2007.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |