Hadi sasa taakwimu zinaonyesha kuwa Kenya imeagiza umeme wa thamani ya dola milioni 33.7.
Kilowati moja ya umeme kutoka Uganda ni shilingi 21 kulingana na makubaliano yaliotiwa saini kati ya nchi hizo mbili mwaka 2014.
Tume ya kuthibiti kawi nchini Kenya imesema umeme unaonunuliwa Uganda hasa unatumika katika maeneo ya Maghribi baada ya ukame kuathiri bwawa la kuzalisha kawi ys Sondu Miriu.
Lakiniu hata hivyo shilingi 21 kwa kilowati moja ni mara 7 ya bei ya umeme unaozalisha ndani ya nchi nchini Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |