• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yatumai suala la Zimbabwe litatatuliwa kwa amani na mwafaka

    (GMT+08:00) 2017-11-17 18:58:51

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang leo hapa Beijing amesema, China inazitaka pande mbalimbali za Zimbabwe zizingatie maslahi ya kimsingi na ya muda mrefu, na kutatua masuala husika kwa amani na mwafaka.

    Bw. Geng Shuang amesema, hivi sasa nchi wanachama wa SADC zimechukua hatua za usuluhishi. China inazitaka pande mbalimbali za Zimbabwe kushikilia kufanya mazungumzo, kuondoa migongano, kuhimiza masuala husika kutatuliwa kwa amani na mwafaka chini ya msingi wa kisheria, na kulinda utulivu wa taifa na utaratibu wa jamii.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako