Nyota huyo amibuka mshindi wa jumla kwa kutumia saa 20 kakika 21 na sekunde 29 katika mbio hizo zenye umbali wa kilomita 819.
Katika mbio hizo zilizojumuisha nyota 83 kutoka mataifa mbalimbali, waendesha baiskeli watatu kutoka Rwanda wamefanikiwa kuingia tano bora ambao ni Joseph Areruya, Jean Bosco Nsengimana na Patrick Byukusenge.
Licha ya kushinda katika hatua ya mwisho ya mbio hizo yenye umbali wa kilomita 120, Bingwa wa mwaka 2016 Valens Ndayisenga hakuweza kutetea na aliishia nafasi ya sita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |