Kwa nafasi hiyo aliyotapa kati ya warembo wahiriki 118 duniani, Magline ni mshindi wa miss World Afrika kati ya washindani 25 kutoka nchi zingine za Afrika.
Hii ni mara ya pili kwa Kenya kukamata nafasi hiyo kwenye shindano la dunia baada ya Evelyne Njambi kufanya hivyo mwaka 2016.
Lakini taji la Miss World 2017 mwaka huu limekwenda kwa Manushi Chhillar wa India.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |