Kwa mwaka huu licha ya kupongeza ushindi kwa timu pinzani, Mbrazil Fernando Alonso wa timu ya MacLaren amesema Mercedes itaendelea kufanya vizuri hata kwa msimu wa mwaka ujao wa 2018 kama ambavyo wamefanya katika misimu mine iliyopita.
Kuhusu timu yake ya McLaren, Alonso amesema iwapo mabadiliko ya kiufundi yatafanyika ni wazi kuwa wataongeza ushindani tofauti ana ilivykuwa mwaka huu.
Madereva hao wanajiandaa na mbio za mwisho msimu huu zitakazofanyika mwishoni mwa juma hili mjini Abu Dhabi nchini Umoja wa Falme za Kiarabu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |