Licha ya ushindi huo kuipunguza kasi Kanbis, haukuisaidia Swamibapa kwani bado inasalia katika nafasi ya tatu kwenye msimamo baada ya kujikusanyia alama 219 nyuma ya hao Kanbis ambao wanabaki katika nafasi ya pili kwa kuwa na alama 230.
Vinara wa ligi hiyo yenye timu kumi ni Stray Lions ambayo ina jumla ya alama 266, nafasi ya mwisho kwenye msimamo imekamatwa na Kongonis yenye alama 71 pekee.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |