Timu hiyo imeifunga Patriots kwa pointi 76-69 na kushika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa kundi A.
Katika mechi ya nusu fainali APR itapambana na IPRC Kigali kesho jumamosi katika uwanja wa ndani wa Amahoro saa kumi jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Na kwenye mechi nyingine ya Nusu fainali, Timu ya shirika la nishati la Rwanda (REG) itacheza na Patriots saa kumi na mbili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |