Mwenyekiti wa kamati hiyo, Peter Gitau amesema kuna makundi mawili ya washiriki, yaani ridhaa na wale kulipwa.
Katika wanariadha 200 wakulipwa, Gitau amesema wamo pia mabingwa wa mbio za kimataifa waliosajili nusu marathoni na mbio ndefu.
Katika mbio kama hizi mwaka jana, wanariadha 19,000 walijitokeza na ubingwa ulitwaliwa na Robert Kipkemboi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |