Goli la FC Cologne limefungwa kwa njia ya penati mnano dakika ya 62 baada ya Mathieu Debuchy kucheza rafu katika eneo la hatari.
Nayo timu nyingine ya Uingereza, Everton imeendeleza rekodi mbaya ya kufungwa katika michuano hiyo, baada ya kukubali kipigo kikubwa cha magoli 5-1 ikiwa nyumbani dhidi ya Atalanta ya Italia ikiwa ni kipigo cha nne.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |