Kiwango hicho kimepita kile Kenya inachoagizia kutoka Marekani.
Kipndi sawa na hicho mwaka jana Kenya iliagizia bidhaa za shilingi bilioni 31.
Bidhaa Kenya inazonunu Afrika Kusini ni kama vile mvinyo, magari, vipuli na mashine.
Taakwimu zinaonyesha uagiziaji kutoka Marekani kwa Kenya katika kipindi hicho cha miezi 8 ulifikia shilingi bilioni 40.
Hata hivyo Kenya imeuza bidhaa za shilingi bilioni 5 tu Afrika Kusini ndani ya kipindi hicho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |