Ripoti hiyo iliotolewa Novemba 21 inaonyesha kuwa Uganda imeshuka nafasi nne tangu mwaka 2915.
Katika kanda ya Afrika mashariki Rwanda iko kwenye nafasi ya 31, Kenya 92 Tanzania 164, Burundi 138 na Sudan Kusini 68.
hata hivyo mkurungezi wa kitengo cha ushuru kwenye shirika la PwC nchini Uganda Richard Marshall, amesema nafasi ya nchi hiyo haiku chini snaa kikanda na pia imechangiwa na sera bora za kukusanya na kuweka rekodi za ushuru.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |