Aidha KRA itauza nafaka ambazo zimeagizwa kutoka nje lakini zimesalia bandarini baadhi zikiwa ni za wafanya biashara wa Uganda.
Ijumaa mamlaka hiyo ilitoa notisi ya mwezi mmoja kwa wenye magari 163 kulipa ushuru husika na kuondoa magari yao kabla ya siku yam nada ambayo ni tarehe 17 Januari.
Magari hayo hasa yanamilikiwa na makampuni ya kuagiza yalioko
Nairobi, Nakuru, Eldoret na Mombasa.
Mengi ni aina ya Toyota, Nissan, Mitsubishi, , Honda, Hyundai, Mazda na Subaru.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |