Kampuni hiyo yenye makao yake makuu nchini Tanzania ilinunua haki za kutangaza michezo hiyo kwa miaka mitatu ijayo.
Katibu mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye amesema pia AZAM wamenunua haki za kutangaza mechi za kombe la Kagame.
Kampuni hiyo italipa mshindi wa mashindano hayo dola $30,000, nafasi ya pili dola $20,000 na wa tatu $10,000
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |