Meli hiyo inayoendesha operesheni ya amani ya mwaka 2017, imemaliza ziara yake ya siku 8 nchini Tanzaina na kuondoka bandari ya Dar es Salaam.
Katika siku hizo 8, licha ya kufanya matibabu ndani ya meli hiyo, jeshi hilo pia lilipeleka madaktari 74 katika hospitali za kijeshi za Tanzania kufanya matibabu na upasuaji, ambapo watu 6,441 wamepata matibabu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |