Nchi hizo Rwanda ambako zoezi limeanza mwezi huu hadi mwezi Disemba, Kenya litakapoanza mwezi Januari hadi Aprili na Uganda ambako litaanza mwezi Aprili hadi mwezi mei, na mizunguko yote hii ikiwa ni awamu ya kwanza, hivyo likirudiwa tena mara kwa mara katika maeneo hayo ili kutimiza lengo la kupata wachezaji.
Honda Estilo kampuni inayoongozwa na nyota wa mpira wa miguu kutoka Japan Keisuke Honda, akishirikiana na Will Smith ambaye ni mcheza filamu kutoka marekani, Yujiro Ohori ambaye ni bingwa wa gofu nchini Japan, Miyabi Onitsukai ambaye ni mshindi wa medali ya dhahabu katika michezo ya kwenye barafu, pamoja na Jaden Smith ambaye ni mwanamuziki na mwigizaji kutoka marekani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |